Header Ads

SIMBA SC YAICHAPA DODOMA JIJI 2-0 UHURU



WASHINDI wa Ngao ya Jamii, Simba SC wameendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuichapa Dodoma Jiji FC mabao 2-0 leo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.

Mabao ya Simba SC yamefungwa na washambuliaji wake wa kigeni, Mkongo Jean Othos Baleke dakika ya 43 na Mzambia, Moses Phiri dakika ya 55 huo ukiwa ushindi wa pili mfululizo ndani ya michezo miwili ya mwanzo baada ya kuichapa Mtibwa Sugar 4-2 Morogoro.

JIUNGE NASI , BONYEZA HAPA http://www.chombohurumedia .blogspot.com ku-install App ya chombohurumedia,  bila ya kuingia website

Tweet@chombo huru media,Youtube@chombo huru media, Facebook@chombo huru media, Instagram @chombohuru­­_media


No comments

Theme images by A330Pilot. Powered by Blogger.