Picha na matukio mbali mbali ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi kilivyotembelea Manispaa ya Morogoro
| Wakufunzi wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi wakiwasili Manispaa ya Morogoro mapokezi hayo yalifanywa na Afisa Habari Manispaa ya Morogoro, Lilian Henerico. |
| Afisa Habari Manispaa ya Morogoro, Lilian Henerico akielezea na kuwasilisha taarifa juu ya taswira ya Manispaa ya Morogoro mbele ya wageni. |
| Mchumi Manispaa ,Rubeni Urasa, akielezea mipango ya Bajeti ya Manispaa ya Morogoro. |
| Afisa Mapato, Manispaa ya Morogoro , Muhusini Mhina , akielezea jinsi manispaa inavyoweza kukusanya mapato na vyanzo vya mapato vilivyopo katika Manispaa hiyo. |
Post a Comment