Header Ads

Picha Maktaba : Ziara ya kikazi ya Baraza la Madiwani na Watumishi wa Halmshauri ya Manispaa ya Morogoro Jijini Dar Es Salaam.

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo akiongozana na Mstahiki Meya wa Jiji la Dar Es Salaam, Mhe. Isaya Mwita, wakati wa ziara ya Baraza la Madiwani Manispaa ya Morogoro kutembelea katika kujifunza ukusanyaji wa mapato kwa Wilaya za Ilala, Temeke na Kinondoni hivi karibuni.
Manispaa ya Ilala.


Manispaa ya Temeke.


Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Sheilla Lukuba, akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Lusubilo J Mwakabibi.






Manispaa ya Kinondoni.


No comments

Theme images by A330Pilot. Powered by Blogger.