Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa hadharani
Liverpool itaanzia nyumbani dhidi ya AS Roma huku Real Madrid ikiwa ugenini kuikabili Bayern Munich.
Mechi za mkondo wa kwanza zitapigwa kati ya tarehe 24/25 Aprili 2018 huku za marudiano zikichezwa kati ya tarehe 1/2 May 2018.

Post a Comment