Header Ads

Watu 6 wafariki katika ajali ya helikopta

Watu 6 wafariki katika jali ya helikopta walipokuwa katika mafunzo  Habarovsk  Mashariki mwa Urusi.
Taaraifa ya ajali hiyo imetolewa na kituo cha habari cha  TASS.

Helikopta iliofanya ajali ni helikopta aina ya MI-8. Helikopta hiyo ilipata ajali wakati ikikaribia  uwanja wa ndege. Helikopta hiyo iliwaka moto na kusababisha vifo hivyo vya watu 6.

No comments

Theme images by A330Pilot. Powered by Blogger.